Jana nimepita njia ya mkato makaburini warembo wawili wakawa wananikimbilia wanatetemeka Eti tunaogopa kupita peke yetu na mm Nikawajibu hata mm nilipokua hai nilikuwa naogopa sana . Wakashtuka. Ungeona vile wamekimbia!!! Wamepita makaburini peke yao bila kuogopa tene
*Sipendagi kufuatwa fautwa na sipendi ujinga mm😏😏😏*
No comments
Post a Comment